Kufanya mzaha kwa watu

Ni ipi hukumu ya kuwafanyia watu mzaha kupitia vichekesho?

Soma zaidi....

Namna ya kutendeana na aliyebadilisha jinsia yake

Rafiki yangu ni Muislamu ambaye amebadilisha jinsia. Alifanyiwa upasuaji wa kubadilisha jinsia kutoka mwanaume kwenda mwanamke, na sasa ana viungo vya kike. Ameishi kwa muda fulani kama mwanamke. Sasa anataka kurudi kwenye jinsia yake ya asili na kuwa mwanaume kwa maisha yake yote, licha ya kupoteza viungo vyake vya kiume. Sasa ni mwenye kutubu, anahisi huzuni na anajinyenyekeza kwa rehema na msamaha wa Mwenyezi Mungu kwa dhambi kubwa aliyoifanya.

Maswali ni haya yafuatayo:

Atachukuliwa kuwa wa jinsia gani kisheria ya Kiislamu?

Je, anaruhusiwa kufunga ndoa?

Anaweza kuoa au kuolewa na jinsia gani?

Je, swala yake inahesabika kuwa sahihi?

Je, anaruhusiwa kuswali msikitini kama mwanaume?

Je, bado anahesabika kuwa Muislamu?

Je, anaruhusiwa kuhiji au kufanya Umra?

Soma zaidi....

Kutazama Filamu za Ngono kwa Wanandoa.

Mimi nimeolewa tangu miaka kumi na mbili iliyopita na mume wangu ananiomba tutazame pamoja filamu za ngono au atizame pekee yake, kiasi ambacho humpelekea mwishoni kupiga punyeto, na hali hii imesababisha matatizo mengi katika maisha yetu. Na kila mara anakariri kuwa hayupo radhi na mimi, na kwamba mimi siyo kama wanawake wengine, katika baadhi ya nyakati mimi huwa ninadhani kwamba mimi ni sababu ya kupiga kwake punyeto. Nanajisemea moyoni kwamba kama nikikubali kutazama aina hii ya filamu labda atakidhi haja yake pamoja nami kwa njia ya halali. Swali langu ni: Je ni lazima kumtii katika jambo hili au ni lazima niendelee na msimamo wangu wa kukataa kutazama filamu hizi pamoja naye? Ni muhimu kutajwa kuwa yeye anaswali, anatoa sadaka nyingi, na pia alifanya Umrah. vile vile, ana tabia njema ingawa ana kasoro hii.

Soma zaidi....

Hukumu ya kuchanganyika kwa wavulana na wasichana kwenye bustani za umma

Ni nini hukumu ya kisharia kuhusu kuchanganyika kwa vijana wa kiume na wa kike katika bustani za umma na kufanya baadhi ya matendo yanayokiuka maadili na haya? Je! mtu anapaswa afanye nini anapoona matukio kama haya? Hasa kwa kuzingatia kuwa sharia ya Kiislamu inasisitiza kuwa anayeyaona maovu, basi ayarekebishe?

Soma zaidi....

Hukumu ya Elimu kwa wasichana

"Kulitokea mjadala kati yake na kaka yake mkubwa kwa sababu alikuwa anawapeleka mabinti zake shule — na ni mabinti wanne. Kaka yake alimwambia kuwa si sahihi kwa msichana kupata elimu, na kwamba msichana anayesoma ni mbaya kitabia. Muulizaji anataka kujua hukumu ya Kiislamu kuhusu elimu ya msichana."

Soma zaidi....

Hukumu ya wanawake kuhudhuria Mafunzo ya kidini Misikitini

Baadhi ya vijana na baadhi ya wale wanaohusika na misikiti katika eneo fulani la makazi wametoa Fatwa ya kuharamisha mafundisho ya kidini kwa wanawake ndani ya misikiti. Tunamshuhudia Mwenyezi Mungu kwamba mafundisho haya yamewafaidisha na kuwaelekeza wanawake wengi katika eneo hilo. Muulizaji anasema: Je, ni halali au haramu kuwatengea wanawake mafundisho ya kidini ndani ya misikiti? Na je, ikiwa wanaume kutoka idara ya Waqfu au Al-Azhar au watu wanaoaminika kielimu na kimaadili wakitoa mafundisho ya kidini kwa wanawake ndani ya misikiti, je ni halali au haramu? Na kama ni halali, je, ni lazima kuwepo pazia au kitu cha kuwatenganisha kati ya Shekhe na wanawake wakati wa somo?

Soma zaidi....

Hukumu ya kuchanganyika kwa wanaume na wanawake katika uwanja wa elimu

Muulizaji anasema: Je, kuna kizuizi cha kisharia kuhusu kuchanganyika kwa wanaume na wanawake katika nyanja ya elimu? Na anaomba maelezo ya hukumu ya kisharia kuhusu jambo hilo.

Soma zaidi....

Hukumu ya Urafiki kati ya wasichana na wavulana

Ningependa kuwauliza kuhusu jambo linalonihusu sana. Nina mahusiano na wenzangu wa Chuo, na – Alhamdulillah – mahusiano hayo yote ni ya juu juu tu. Lakini nina rafiki wa karibu sana ambaye ni kijana, na Alhamdulillah uhusiano wetu uko ndani ya mipaka ya heshima na maadili. Lakini nilisikia kutoka kwa rafiki yangu mmoja kuwa mazungumzo au urafiki kati ya msichana na kijana ni haramu kisharia. Hivyo ningependa mnipe mwongozo kuhusu jambo hili.

Na je, mazungumzo kupitia mtandao kati ya kijana na msichana ni haramu pia ikiwa hayatoki nje ya mipaka ya mazungumzo ya kawaida kuhusu mambo ya maisha ya kila siku?

Soma zaidi....

Hukumu ya kufanya chat kati ya vijana wa kiume na wa kike

Nampenda msichana, na nazungumza naye kwa njia ya simu. Ninajua kuwa hatufanyi maasi yoyote katika mazungumzo yetu – Alhamdulillah. Pia nakumbuka kuwa sikubali kabisa kutoka naye au kukutana naye, ili tusije tukaanguka kwenye kosa, na nataka nipende kwa njia safi. Pia nimemfundisha mengi kuhusu Uislamu na hukumu zake. Hapo awali hakuwa akiswali, alikuwa akizungumza na wavulana na kuwasalimia kwa kupeana mikono, lakini sasa hayo yote ameacha. Hata marafiki zake wamesikia maneno yangu na wameiga mfano wake.

Kile ninachotaka kujua ni mambo mawili:

La kwanza: Je, Mwenyezi Mungu atanilipa thawabu kwa hiki nilichokifanya?

La pili: Je, mazungumzo yangu naye kwa njia ya simu ni haramu au siyo, ikizingatiwa kwamba hatuzungumzi mambo mabaya, na mazungumzo yetu mengi yanahusu Swala, Hijabu na ndoa?

Naomba mnijulishe.

Soma zaidi....

Hukumu ya mwanamke kufanya kazi kama mhandisi

Ni nini hukumu ya sharia kuhusu mwanamke kufanya kazi kama mhandisi ikiwa kazi hiyo inajumuisha:

Kuwasiliana moja kwa moja na wahandisi wengine wakiwemo wanaume.

Kuna uwezekano wa mchanganyiko kati ya wanawake na wahandisi wa kiume.

Kusafiri peke yake na wahandisi wa kiume kwenye gari kwa sababu yoyote ile.

Kutembea na wanafunzi kwa madhumuni ya kuwafundisha au kujibu maswali yao.

Soma zaidi....

Hukumu ya kusafiri kwa mwanamke kwa ajili ya kuhudhuria mikutano ya kitaaluma bila ya kuwa na maharimu

Ni nini hukumu ya kusafiri kuhudhuria mikutano kwa ajili ya dada yangu ambaye ni profesa katika Chuo cha Tiba, na atasafiri bila maharimu? Je, ni hukumu gani na masharti gani yanayohitajika kwa safari yake ili aepukane kuangukia dhambi? Jua pia kuwa ana umri wa zaidi ya miaka arobaini na tano.

Soma zaidi....

Hukumu ya kuwepo kwa mwanamke pamoja na mwanamume peke yao katika gari

Je, inafaa kwa mfanyakazi wa kike kupanda gari na mfanyakazi mwenzake wa kiume wakiwa wawili tu ili amsindikize? Kwa sababu ninajisikia hali ya kutokuwa huru ninapowabeba wenzangu wa kike peke yao katika gari langu.

Soma zaidi....

Hukumu ya kusafiri kwenda nchi zisizo za Kiislamu kwa ajili ya utalii

Nini hukumu ya kusafiri kwenda katika nchi zisizo za Kiislamu kwa madhumuni ya utalii, kutazama athari na mandhari ya kihistoria ya nchi hizo, kufurahia maumbile na mambo mengine ya halali yasiyo haramu?

Soma zaidi....

Hukumu ya kusherehekea siku maalumu ya upendo

Ni nini hukumu ya kuhusisha siku iwe sikukuu ya upendo? Tunaomba jibu lililo wazi kuhusu suala hilo!

Soma zaidi....

Hukumu ya kuwaruhusu wageni kuvuta sigara

Je! Inajuzu kuwaruhusu wageni wangu kuvuta sigara garini au nyumbani mwangu?

Soma zaidi....

Hukumu ya ushoga (Mapenzi ya jinsia moja)

Je! Naweza kupata Fatwa kuhusu hukumu ya ushoga (mapenzi ya jinsia moja)!

Soma zaidi....

Hukumu ya kisheria katika kuombaomba

Ni ipi hukumu ya kisharia katika kuombaomba? Na ni ipi hukumu ya kuwasaidia ombaomba waliozagaa maeneo mbalimbali?

Soma zaidi....

Hukumu ya Kuzungumza Kati ya Wanaume na Wanawake Kupitia Mtandao wa Tovuti.

Nini hukumu ya kisheria kuhusu mazungumzo ya mwanamke na mwanaume kwa kuandikia kupitia kuchati au kupitia barua pepe? Nataka jibu kamili kwa suali hilo, pamoja na kauli na maoni ya wanavyuoni na dalili zao kutoka Qur`ani Tukufu na Sunna. Ikiwa jambo hili linaruhusiwa, basi ni kwa kiasi gani?

Soma zaidi....

Hukumu ya kupulizia chakula au kinywaji cha joto

Ni nini hukumu ya kupulizia chakula cha joto?

Soma zaidi....

Hukumu ya kujifunza michezo ya kivita.

Je, inaruhusiwa kwa Muislamu kushiriki katika michezo ambayo mshindani anajaribu kumshinda mpinzani wake kwa kumjeruhi kichwani na mwilini mwawake?

Soma zaidi....

Hukumu ya kuchora michoro ya Wanadamu na Wanyama.

Mimi nimesilimu, lakini kabla ya kufanya hivyo nilipata baadhi ya pesa kutokana na kuchora michoro ya wanyama wafugwao. Nina kipaji cha uchoraji, lakini sasa hivi sina uhakika ikiwa jambo hili linaruhusiwa kwangu au la nyakati hizo. Basi sichori kamwe wanadamu au wanyama kutoka mawazo yangu, bali nategemea mapicha ya fotografia, Nimejaribu kuchora picha za mandhari ya kimaumbile, lakini kipaji changu ni katika kuchora wanyama wafugwao. Kama mfano nachora wanyama wa msitu wa Savana ya Kiafrika kutoka mbali. Je, naweza kuendelea kuchora wanyama? hiki ni kipaji changu cha pekee kinachonifurahisha ?

Soma zaidi....

Hukumu ya kucheza Chess

Je, kucheza chess (shatranji) ni halali katika Uislamu? Na kuna ushahidi wowote kutoka katika Qur`ani Tukufu, Hadithi au kauli za Wanazuoni wanaounga mkono au kupinga hilo?

Soma zaidi....

Kujiamini na kutokuwa na kiburi

Mwanamume anasifika vipi na kujiamini?

Soma zaidi....

Kumwombea Dua Asiye Muislamu

Mimi ni Muislamu Mjerumani, isipokuwa baba yangu aliyefariki hivi karibuni hakuwa Muislamu, lakini yeye alikuwa mtu mwema, na alikuwa daima akinuia heri na kuitenda, mpaka ninaweza kusema kwamba: Yeye aliishi maisha yake kama Muislamu katika matendo yake isipokuwa dini yake ilikuwa si Uislamu. Na kwani ninampenda sana na kumheshimu kwa tabia yake ya kupigiwa mfano, kwa hivyo mimi nataka kumwombea dua. Lakini baadhi ya watu wa kituriki wananiambia kwamba Qur`ani Tukufu imekataa kuwaombea dua wasio Waislamu. Lakini katika upande mwingine, Qur’ani Tukufu inawaelekeza Waislamu kuwa daima wawe waadilifu kwa wazazi wao, hata kama wao si Waislamu. Dua ni jambo bora kabisa ambalo Muislamu anaweza kumfanyia mtu. Pia nilisoma Hadithi isemayo kwamba Muislamu atakuwa Peponi, pamoja na yeyote ampendaye. Ningependa kuwa Peponi pamoja na baba yangu mpendwa, basi nifanye nini?

Soma zaidi....

Kusajili tarehe nyingine katika Fomu ya kuzaliwa.

Mtoto wa kike amekuja London pamoja na wazazi wake kwa njia ya kisheria wakiwa na pasipoti, lakini baadae wazazi wakamwambia mtoto huyo (mwenye miaka 12) kuwa abadili tarehe nyingine ya (mwezi wa) kuzaliwa katika fomu rasmi ili azidishe mwaka, mtoto huyo ambaye ni wa kike, akalipinga jambo hilo lakini mwisho wake akawakubalia wazazi wake, na tangu siku hiyo akawa anatumia tarehe hiyo isipokuwa akawa anahisi tabu na masikitiko, kwani hivi sasa keshabaleghe. Na alipotengeneza pasipoti kwa mara ya pili tarehe hiyo hiyo ikaandikwa tena, na alitaka kueleza ukweli, na kuwaambia kuwa tarehe sahili (mwezi) wa kuzaliwa kwake lakini wazazi wake wakamwambia kuwa iwapo atafanya hivyo atatusababisha matatizo. Mtoto huyu afanye nini?

Hakika kwamba tarehe hiyo sasa iko kwenye pasipoti yake ya Uingereza, na msichana huyo amechanganikiwa baina ya kusema ukweli na kutii wazazi wake. Anahisi kwamba anatumia pasipoti hiyo isivyofaa na ana wasiwasi kuhusu adhabu ya Mungu kwake na kwa wazazi wake, hasa kwao, ikiwa atasema ukweli. Afanye nini?

Soma zaidi....

Hukumu ya kuzifanya Aya za Qur`ani Tukufu vilio vya simu ya mkononi

Ni nini hukumu ya kuzifanya Aya za Qur`ani Tukufu au Adhana vilio vya simu ya mkononi?

Soma zaidi....

Hukumu ya Kuuza Nguo zenye chapa Bandia

Kazi yangu ni kuuza nguo zenye chapa bandia ambazo zinatengenezwa Tunisia, je, biashara hii ni haramu? Na ikiwa haramu, faida yake niifanyie nini? Na je! Kununua nguo zenye chapa bandia zilizosambaa katika maduka mengi hapa kwetu ni Haramu?

Soma zaidi....

Umuhimu wa michezo ya viungo vya mwili

Ni zipi mitazamo ya Sharia ya Kiislamu kwenye michezo ya viungo vya mwili kwa watoto?

Soma zaidi....

Ulanguzi

Je kutoa Sadaka fedha za faida itokanayo na biashara kunafuta dhambi za ulanguzi?

Soma zaidi....

Kejeli kwa Wagonjwa

Ni namna gani Sharia imetahadharisha kudharau na kukejeli wagonjwa

Soma zaidi....

Sanamu la kumbukumbu na sanamu la askari asiyefahamika.

Upi msimamo wa Uislamu katika sanamu la kumbukumbu na la askari asiyefahamika?

Soma zaidi....

Mahusiano mema kati ya mume na mke

Ni vipi vigezo vya kulinda uhusiano mwema kati ya mume na mke?

Soma zaidi....

Kulea mtoto asiyefahamika ukoo.

Ni namna gani Sharia imependekeza katika kulea mtoto asiyefahamika ukoo na zipi thawabu za hilo?

Soma zaidi....

Kutumia manukato kwa ajili ya mgonjwa.

Ipi hukumu ya kutumia mafuta mazuri kwa ajili ya mgonjwa na kumuombea duwa wakati wa kumtembelea?

Soma zaidi....

Kuchukua Msahafu Msikitini

Ipi hukumu ya kuchukua Msahafu kutoka Msikitini?

Soma zaidi....

Duwa kunapokuwa na tatizo

Ni duwa ipi iliyosuniwa pindi mwanadamu anapokuwa na tatizo au huzuni?

Soma zaidi....

Hukumu juu ya msemo: "Chochote kinachohitajika nyumbani ni haramu kwenda msikitini"

Ni ipi hukumu ya msemo: “Chochote kinachohitajika nyumbani ni haramu kwenda msikitini”?

Soma zaidi....

Jambo la uonevu

Je, ni ipi hukumu ya uonevu?

Soma zaidi....

Kusambaza elimu ya maiti

Sharia imependekeza vipi kusambaza elimu ya maiti na imetahadharisha vipi kuificha?

Soma zaidi....

Kuomba dua kwa cheo Cha Mtume

Ni ipi hukumu ya kusema: "Naomba kwa cheo Cha Mtume S.A.W."

Soma zaidi....

Ukwepaji wa kodi na ushuru

Ni ipi hukumu ya Sharia kuhusu ukwepaji wa kulipa kozdi na ushuru?

Soma zaidi....

Hukumu ya kufuatilia na kupeleleza aibu za watu

Ni ipi hukumu ya kufuatilia na kupeleleza aibu za watu na kutafuta dosari zao?

Soma zaidi....

Hukumu ya mwanamke kusoma Qur`ani Tukufu kwa mavazi ya kawaida ya nyumbani

Ni ipi hukumu ya mwanamke kusoma Qur`ani Tukufu kwa mavazi ya kawaida ya nyumbani?

Soma zaidi....

Hukumu ya kufanya ziara kwa makaburi ya wazazi

Ni ipi hukumu ya kufanya ziara ya makaburi ya wazazi waliofariki siku ya Ijumaa kila wiki na kusoma Qur`ani kando ya makaburi yao?

Soma zaidi....

Hukumu ya kwenda kwa waganga na wachawi

Ni ipi hukumu ya kwenda kwa waganga na wachawi?

Soma zaidi....

Tahadhari ya udanganyifu na kuvunja ahadi

Sharia ya Kiislamu Imetahadharisha vipi suala la udanganyifu na kuvunja ahadi? 

Soma zaidi....

Rukia kwa kutumia Qur'ani.

Ipi hukumu ya Rukia kwa kutumia Qur'ani?

Soma zaidi....

Watu kuchapisha maelezo ya maisha yao kwenye mitandao ya kijamii.

Ipi hukumu ya watu kuchapisha historia ya maisha yao kwenye mitandao ya Kijamii?

Soma zaidi....

Sharia ilihimiza umoja wa neno

Sharia ilihimizaje umoja wa neno?

Soma zaidi....

Uislamu umejali usafi

Uislamu umejali vipi  usafi ?

Soma zaidi....

Sharia ilihimiza usafi wa barabara

Je, Sharia ilihimiza vipi usafi wa barabara?

Soma zaidi....

Sharia inatuhimiza kudumisha usafi wa mwili wa mwanadamu

Ni vipi Sharia inamhimiza mtu kudumisha usafi wa mwili wake?

Soma zaidi....

Udhibiti wa kisharia kwenye michezo ya kielektroniki ya burudani inayoruhusiwa

Je, kuna udhibiti wa kisharia kuhusu michezo ya kielektroniki ya burudani inayoruhusiwa?

Soma zaidi....

Kuipenda familia ya Mtume na kuonesha fadhila zake

Ni vipi Sharia ilihimiza mapenzi kwa familia ya Mtume na fadhila zake ni nini?

Soma zaidi....

Kuwapa wazazi waliokufa malipo ya Sadaka

Ni ipi hukumu ya kuwapa wazazi malipo ya sadaka baada ya kufa kwao?

Soma zaidi....

Kutotii wazazi

Ni ipi adhabu ya kutotii wazazi?

Soma zaidi....

Kupuuza kazi na kuhimiza kujituma.

Namna gani Uislamu umetahadharisha kupuuza kazi na kuhimiza kujituma kwa bidii?.

Soma zaidi....

Kujiombea mabaya mwenyewe mtoto na mali.

Ipi hukumu ya kujiombea mabaya kwako kwa mtoto na mali?

Soma zaidi....

Kudhibiti hasira na tiba yake.

Ni namna gani Muislamu atadhibiti hasira zake?

Soma zaidi....

Maana ya sadaka yenye kuendelea

Ni ipi Sadaka yenye kuendelea?

Soma zaidi....

Kuzungumza katika mambo ya tiba pasi na elimu

Ni ipi hukumu ya kuzungumza katika mambo ya tiba kwa watu wasiobobea?

Soma zaidi....

Kuiba fikra na ubunifu

Ni iipi hukumu ya kuiba fikra na ubunifu?

Soma zaidi....

Kusoma Qurani kwa pamoja

Ni ipi hukumu ya kusoma Qurani kwa pamoja?

Soma zaidi....

Ustahmala

Nini maana ya ustahmala

Soma zaidi....

Duwa mvua inaponyesha

Je, kuomba dua inaponyesha mvua, dua inajibiwa?

Soma zaidi....

Usthamala wa Mtume S.A.W. na kuchunga hisia za watuwengine

Vipi Mtume S.A.W. alikuwa akichunga   hisia za watu wengine?

Soma zaidi....

Msemo wa: "Ardhi ya Misri ni Ardhi yenye baraka na ndio mama wa nchi zote"

Ni upi ukweli wa kauli msemo wa: "Ardhi ya Misri ni Ardhi yenye baraka na ndio mama wa nchi zote"

Soma zaidi....

Tahadahri kufurahia kifo na kuweka wazi mwisho matokeo yake

Ni ipi hukumu ya anayefurahi kifo cha mtu mwingine?

Soma zaidi....

Kusoma surat Al-Akahf Siku ya ijumaa

Je, kusoma surat Al-Akahf Siku ya ijumaa ni suna?

Soma zaidi....

Kukausha njia kutoka athari za mvua

Ni nini malipo ya kuzikausha njia kutoka maji ya mvua?

Soma zaidi....

Fadhila za kutoa vyakula

Ni nini fadhila za kutoa vyakula katika Uislamu

Soma zaidi....

Haki za Walemavu

Ni nini haki za walemavu kwa mujibu wa sheria tukufu?

Soma zaidi....

Kusherehekea Israa na Miraji

Ni nini ukweli wa kusherehekea Irsaa na Miraji siku ya Ishirini na Saba mwezi wa Rajabu?

Soma zaidi....

Hukumu ya kusema “Harama” baada ya sala

Ni nini hukumu ya kusema “Harama” baada ya sala?

Soma zaidi....

Misingi ya kuunganisha Undugu

Ni ipi misingi ya kuunganisha Undugu

Soma zaidi....

Kuadhimisha maadhimisho mbalimbali ya kidini

Ipi hukumu ya maadhimisho mbalimbali ya kidini kama vile kuadhimisha usiku wa Lailatul Qadri, Israai na Miiraji, mazazi ya Mtume na mengine?

Soma zaidi....

Kuapa kwa jina la Mtume S.A.W na watu wa nyumbani kwake pamoja na Kaaba.

Ipi hukumu ya mtu kutegemea mtu mwingine ili kutimiza mahitaji yake kwa njia ya kuapa kwa jina la Mtume S.A.W na watu wa nyumbani kwake pamoja na Kaaba?

Soma zaidi....

Kufuatilia aibu

Ipi hukumu ya kufuatilia aibu na kukiuka yaliyoharamu na kuyachapisha?

Soma zaidi....

Kufichua Data ya Wengine

Ni ipi hukumu ya kufichua data za wengine binafsi kwenye mitandao ya kijamii?

Soma zaidi....

Maana ya Usimamizi

Usimamizi ni nini?

Soma zaidi....

Kufurahia ugonjwa

Je, ni ipi hukumu ya mtu anayefurahia ugonjwa wa mtu mwingine?

Soma zaidi....

Hukumu ya kufurahia kifo cha mtu

Ni nini hukumu ya kufurahi kwa kifo cha mtu mwingine

Soma zaidi....

Hukumu ya kiokota kinachokutwa na mtumishi wa hoteli

Ni nini hukumu ya kiokota kinachokutwa na mtumishi wa hoteli?

Soma zaidi....

Hukumu ya kutamka ibara ya: "Mungu Amemkumbuka" kwa kuashiria aliyefariki

Ni ipi hukumu ya kusema: "Mungu Amemkumbuka" kwa kuashiria kifo cha mtu?

Soma zaidi....

Hatua za kuchukua katika deni ambalo mdai hajulikani

Baba yangu aliniambia kabla ya kifo chake kwamba yeye anadaiwa na mtu mmoja, na nimetafuta huyo mtu sikumpata, je kunajuzu kwangu kutumia mali hii?

Soma zaidi....

Muamala mbaya kwa Mke

Mume wangu ananifanyia muamala mbaya. Nini Hukumu yake?

Soma zaidi....

Kuunga udugu

Ipi namna ya kuunga udugu?

Soma zaidi....

Muda wa kuisha kulea yatima.

Upi umri au muda 

Soma zaidi....

Kuwatendea wema wazazi wawili

Je! Kuwatendea wema wazazi wawili kunafuta madhambi?

Soma zaidi....

Sadaka yenye kuendela

Ni zipi aina ya Sadaka zenye kuendelea?

Soma zaidi....

Kumdhukuru Mwenyezi Mungu idadi maalumu

Ni ipi hukumu ya dhikri yenye idadi maalumu?

Soma zaidi....

Athari za uvumi kwenye jamii mbalimbali

Ni nini wajibu wa Muislamu kuhusiana na uvumi unaoenezwa pale alipo?

Soma zaidi....

Uonevu.

Nini hukumu ya uonevu?

Soma zaidi....

Misimamo mikali ya kidini.

Ni ipi athari ya misimamo mikali ya kidini kwa jamii?

Soma zaidi....

Uzembe kazini

Ipi hukumu ya kuzembea katika kazi yake au majukumu yake?

Soma zaidi....

Kukwamisha masilahi ya watu.

Ipi hukumu ya kutofanya kazi rasmi kwa kufanya kazi binafsi?

Soma zaidi....

Kutekeleza kanuni na sheria za kazi

Je ni lazima kutekeleza kanuni na sheria za kazi?

Soma zaidi....

iba ya ulevi

Ipi hukumu ya kuwatumia wenye uzoefu katika kutibu ulevi?

Soma zaidi....

Kushirikiana na watu muhimu Wenye kilema

Ni namna gani Uislamu unachukulia watu muhimu?

Soma zaidi....

Kuchafua maji.

Ipi hukumu ya kuchafua maji ya mito na mifereji?

Soma zaidi....

Matumizi ya nguvu kifamilia

Ipi hukumu ya matumizi ya nguvu kifamilia hasa dhidi ya mke?

Soma zaidi....

Wajibu wa baba uangalizi wa afya za watoto wao.

Wajibu wa baba uangalizi wa afya za watoto wao.

Soma zaidi....

Upigaji picha na kuchora

Ni ipi hukumu ya kupiga picha na kuchora?

Soma zaidi....

Kupoteza matumaini kwa masiku na nambari

Ni ipi hukumu ya kutarajia shari wakati wa kuona nambari maalum au kufika siku au mnasaba maalum katika kile kinachoitwa “Kukosa matumaini?”.

Soma zaidi....

Kwenda kinyume na nasafa za wazazi wawili.

Ipi hukumu ya kwenda kinyume na nasaha za wazazi wawili katika kuoa?

Soma zaidi....

Athari za uvumi kwenye jamii

Upi wajibu wa Muislamu kuhusu yanayoibuka pembezoni mwake miongoni mwa maneno ya uzushi.

Soma zaidi....

Kufuatilia kasoro za watu na makosa yao

Je, kufuatilia makosa na dhambi za watu na kutafuta kujua ni haramu? Je, unatubu vipi kutokana na hilo?

Soma zaidi....

Hukumu ya kisharia ya "kupokea fidia"

Muislamu akiharibu mali yoyote ya wengine, je anawajibika kuilipa faida, na ni ipi hukumu ya kukubali fidia hii?

Soma zaidi....

Kumkumbuka Allah kwa hali yoyote

Je, inajuzu kumtukuza Mwenyezi Mungu, kumkumbuka, wakati ambapo mtu ana janaba?

Soma zaidi....

Kumswalia Mtume S.A.W

Ipi hukumu ya kumswalia Mtume S.A.W kwa muundo usiopokelewa kwenye Sunna?

Soma zaidi....

Kutembelea Mawalii na waja wema

Je! Inafaa kutembelea makaburi ya waja wema?

Soma zaidi....

Kusafiri kwenda nchi si ya Kiislamu

Ipi hukumu ya kusafiri kwenda nchi isiyo ya Kiislamu na kuishi huko.

Soma zaidi....

Kusikiliza nyimbo

Ipi hukumu ya kusikiliza nyimbo na vipi vigezo vya Kisharia katika hilo?

Soma zaidi....

Hukumu ya kuchanganyika.

Je kuchanganyika wanawake na wanaume ni haramu moja kwa moja Kisharia na inapaswa kutenganishwa kati yao sehemu zote?

Soma zaidi....

Nuksi za siku na idadi

Nini hukumu ya kutarajia mabaya wakati wa kuona idadi maalumu au ujio wa siku maalumu au tukio katika kile kinachoitwa “nuksi”?

Soma zaidi....

Ukiukaji wa ushauri wa

Nini hukumu ya kukiuka amri ya wazazi katika kuoa?

Soma zaidi....

Athari za uvumi kwa jamii

Je, ni nini wajibu wa Muislamu kwa uvumi unaozushwa karibu naye?

Soma zaidi....

Kuwasomesha wasichana

Nini hukumu ya kuwazuia wazazi au mmoja wao kumsomesha bintiye?

Soma zaidi....

Kusoma Qur`ani bila ya kutawadha

Je, inajuzu kusoma Qur`ani bila ya kutawadha?

Soma zaidi....

Uamuzi wa Sharia juu ya “kukubalika kwa fidia”

Muislamu akiharibu kitu kutoka katika mali ya wengine, je anawajibika kulipa fidia yake, na ni ipi hukumu ya kukubali fidia hii?

Soma zaidi....

Kushikwa na ugonjwa kunafuta dhambi

Je, kupatwa na maradhi kunafuta dhambi na makosa?

Soma zaidi....

Dhikiri / kumtaja Allah kwa kila hali

Je, inajuzu kwa  mtu mwenye  janaba kusoma tasbihi na kumdhukuru Allah?

Soma zaidi....

Kumswalia Mtume (S.A.W)

Nini hukumu ya kumswalia Mtume (S.A.W), kwa maneno yasiyotajwa katika Sunna?

Soma zaidi....

Kushirikiana kwenye mambo mema.

Ni zipi thawabu za ushiriki wa kujitolea kukausha maji ya mvua barabarani.

Soma zaidi....

Uhalali wa sifa na kutohoa.

Ipi hukumu ya kumsifu Mtume S.A.W kutohoa na kuleta kaswida za kidini?

Soma zaidi....

Kuheshimu watu wenye weledi

Je inapasa kuwarudia watu wa weledi katika mambo ya elimu na maarifa?

Soma zaidi....

Kuwafanyia watu uadui.

Nini hukumu ya mwenye kuwafanyia watu uadui na kuwavunjia heshima zao?

Soma zaidi....

Tukio la unyanyasaji mwanamke

Nini hukumu ya unyanyasaji mwanamke au kumfanyia maudhi ya kimaneno au kimaana.

Soma zaidi....

Kuapa kwa jina la Mtume S.A.W na kwa watu wa nyumbani kwake pamoja na Kaaba.

Ni ipi hukumu ya mtu kuapa kwa jina la mtu mwingine ili kufikia mahitaji yake kwa njia ya kuapa kwa jina la Mtume S.A.W na watu wa nyumbani kwake pamoja na Kaaba?

Soma zaidi....

Kulipa deni ikiwa ni dhahabu.

Nilichukuwa kwa mmoja wa rafiki zangu baadhi ya vitu vya dhahabu kwa njia ya mkopo ni muda mrefu umepita ni vipi namrudishia hivi sasa?

Soma zaidi....

Dhana mbaya.

Mchumba wangu mara nyingi ananidhania vibaya ni namna gani niende naye kwenye hili?

Soma zaidi....

Kutoa Zaka.

Je inafaa kutoa Zaka kwa awamu ndani ya kipindi cha mwaka?

Soma zaidi....

Kufuatilia mabaya na aibu za watu.

Je, kufuatilia makosa na dhambi za watu na kutafuta kuzijua ni haramu? Je, unatubu vipi kwa hilo?

Soma zaidi....