Baadhi ya Wahubiri wa Swla ya Ijumaa katika mji wetu walidai kwamba:
1- Kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ni haramu.
2- Kutembea kwa maandamano, kubeba bendera, na kupiga matari kwa mnasaba wa Maulidi ya Mtume ni haramu.
3- Kufanya mikesha ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ni haramu.
4- Kununua na kutoa peremende katika siku ya kuzaliwa Mtume ni haramu.
5- Kusimama katika mizunguko ya dhikri na kunema ndani yake ni haramu.
6- Kuita jina la "bwana wangu" kwa vipenzi vya Mwenyezi Mungu ni haramu.
Je, ni ipi hukumu juu ya hilo?
Soma zaidi....
Arabic
Englsh
French
Deutsch
Urdu
Pashto
Hausa
