Kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume, kunema katika vikao vya dhikri, na kuwaita mawalii kwa jina la “Bwana Wangu” (sayyid)

Baadhi ya Wahubiri wa Swla ya Ijumaa katika mji wetu walidai kwamba:

1- Kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ni haramu.

2- Kutembea kwa maandamano, kubeba bendera, na kupiga matari kwa mnasaba wa Maulidi ya Mtume ni haramu.

3- Kufanya mikesha ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ni haramu.

4- Kununua na kutoa peremende katika siku ya kuzaliwa Mtume ni haramu.

5- Kusimama katika mizunguko ya dhikri na kunema ndani yake ni haramu.

6- Kuita jina la "bwana wangu" kwa vipenzi vya Mwenyezi Mungu ni haramu.

Je, ni ipi hukumu juu ya hilo?

Soma zaidi....