Uimamu wa mtoto kwa mtoto mwenzake

Ni ipi hukumu ya Uimamu wa mtoto kwa mtoto mwenzake katika Swala? Na je, inatofautiana ikiwa Swala ni ya faradhi au ya Sunna?

Soma zaidi....

Hukumu ya Uimamu wa Mwanamke

Je, mwanamke anaweza kuwa Imamu wa wanaume katika Swala ya faradhi? Na je, inajuzu kwa mwanamke kuwaswalisha wanawake wenzake katika Swala ya faradhi? Na ni wapi atasimama kama Imamu iwapo ataswalisha wanawake?

Soma zaidi....

Hukumu ya Kupeana Mikono Baada ya Swala

Je, nini hukumu ya kupeana mikono baada ya Swala baina ya waumini? Wapo baadhi ya watu wanaosema kuwa ni bid‘a kwa madai kwamba haikupokelewa kutoka kwa Mtume  (S.A.W)  wala Maswahaba zake watukufu, na kwamba inamshughulisha mswaliji na dhikiri za kumalizia Swala.

Soma zaidi....

Kurefusha rukuu kwa ajili ya kumsubiri anayetaka kuswali

Watu hunitanguliza mbele wakati Imamu rasmi anapokosekana ili niwaswalishe, kwa kuwa mimi nimehifadhi kiasi kikubwa cha Qur’ani Tukufu. Huenda nikasikia sauti ya mtu akiingia akitaka kupata rakaa kabla sijainuka kutoka kwenye rukuu, basi humsubiri kwa muda kidogo hadi aipate rakaa. Je, kitendo hiki ni halali kisharia?

Soma zaidi....

Kukusanya Swala kwa Sababu ya Mvua

Ni ipi hukumu ya kukusanya Swala kwa sababu ya Mvua?

Soma zaidi....

Hukumu ya kuachia mikono katika Swala

Nilipokuwa naswali siku moja Msikitini nilikuwa naachia mikono nikiwa nimesimama, baada ya kumaliza kuswali akanijia mtu mmoja na akaniambia: kwanini huweki mkono wa kulia juu ya mkono wa kushoto katika Swala? Nikamwambia: mimi naswali hivi tangu nilipoanza kuswali. akasema: kufanya hivi ni kinyume na Sunna. Ni upi usahihi wa maneno haya? Je, Swala yangu ni sahihi?

Soma zaidi....

Kuweka kzuizi (Kitu chenye urefu wa futi moja) mbele kwa anayeswali.

Mtu yupo dukani anaswali peke yake, anauliza: je, analazimika kuweka kizuizi mbele yake akiwa anaswali?

Soma zaidi....

Kuzuia nafasi maalumu Msikitini

Baahi ya watu katika Msikiti wa mji wetu wanaweka nafasi zao maalumu kwa kuweka msala au mfano wake, hasa katika safu ya mbele, kwa namna nafasi hiyo inakuwa ya kwao muda wowote wanapofika msikitini, je, inafaa kwao kufanya hivyo?

Soma zaidi....

Kusoma kwa Sauti katika Swala ya Kusoma Siri au kusoma kwa siri katika Swala ya kusoma kwa sauti

Nimeingia kuswali ya jamaa Msikitini Sawla ya Alasiri, nikakuta Imamu anasoma kwa sauti na hakusujudu sijida ya kusahau, je, hii ni Sahihi?

Soma zaidi....

Kumuombea Dua Mtu katika Swala kwa kumtaja jina

Kuna baadhi ya watu wanaonipenda, je, kunajuzu kwangu kuwaombea dua katika Swala kwa kumtaja jina?

Soma zaidi....

Swala ya Ijumaa ikiafikiana na siku ya Idi

Ni ipi hukumu ya Swala ya Ijumaa ikiafikiana na siku ya Idi? Je, Swala ya Ijumaa haitekelezwi ikiwa Idi ni siku ya Ijumaa? Na mnasemaje katika kutokutekeleza Swala ya Adhuhuri pia ikiwa Idi siku ya Ijumaa, kwa kutosheka na Swala ya Idi?

Soma zaidi....

Hukumu ya Swala kwa Mgonjwa wa ‘Alzheimer

“Je, hukumu ya Swala kwa mgonjwa wa Alzheimer (ugonjwa unaoathiri ubongo) ni ipi: je, huondolewa kwake? Na je, anatakiwa kuzilipa Swala alizoziacha pale anapopata fahamu tena?”

Soma zaidi....

Kufanikisha kushuhudia (Tashahhud) katika Swala ya Ijumaa

“Mtu aliyeweza kushiriki katika Swala ya Ijumaa na akapata kusujudu mara mbili pamoja na tashahhud akiwa na Imamu, kisha Imamu alipotoa salamu akakamilisha mwenyewe rakaa mbili — je, kitendo chake hicho ni sahihi na je, kinamtosheleza kama Swala ya Ijumaa kisharia?

Soma zaidi....

Swala ya mtoto anayefahamu katika safu ya kwanza

Suala: Mtoto mwenye umri zaidi ya miaka kumi, anayeswali kwa ufasaha, huhudhuria msikitini, na hufika mapema kabla ya iqama kwa muda wa kutosha ili apate nafasi katika safu ya kwanza na kusimama humo. Je, mtoto huyu anapaswa kuondolewa katika nafasi yake aliyewahi na kusimama humo, ili watu wazima wengine wachukue nafasi hiyo?

Soma zaidi....

Swala ya Sunna kuswaliwa sehemu tofauti na ile iliyoswaliwa Faradhi

Je, ni Sunna kuswali Swala za sunna sehemu tofauti na pale niliposwali Faradhi?

Soma zaidi....

Anaeswali Swala ya faradhi Kumfuata Imamu Anayeswali Sunna

Niliingia msikitini kuswali Isha na nikawakuta watu wakiswali jamaa, nikaswali pamoja nao. Baada ya jamaa kumalizika, nikashangaa Imamu  wa Swala akiniambia kuwa wao walikuwa wanaswali Sunna na si Swala ya Isha. Je, swala yangu ni sahihi?

Soma zaidi....

Kukimu Swala kwa lafudhi ya Adhana

Mtu alisafiri kwenda nchini China kwa ajili ya kazi, na alipoenda msikitini kuswali alikuta muadhini anakimu Swala kwa kutumia lafudhi zilezile za Adhana, akirudia maneno na hakuyafanya mara moja, huku akiongeza «qad qāmatiṣ-ṣalāh», na anauliza: Hukumu ya iqama hii ni ipi? Na je, lafudhi hii imepokewa kutoka kwa Mtume (S.A.W)?

Soma zaidi....

Kumtangulia Imamu Rasmi wa Msikiti

Je, inajuzu kwa yeyote kati ya waumini kumtangulia Imamu rasmi wa Msikiti ikiwa yule anayetaka kutangulia ni mjuzi zaidi na ana elimu kubwa kuliko Imamu huyo?

Soma zaidi....

Kutoka Katikati ya Swala ya Faradhi kwa Sababu ya kubanwa na Haja Ndogo au Kubwa

Nilikuwa safarini, na njiani gari lilisimama mahali pa kupumzika. Abiria walishuka ili kutekeleza ibada ya Swala, na nilikuwa nikihisi haja ya kwenda chooni, lakini niliiahirisha kutokana na msongamano katika vyoo. Hivyo, niliingia msikitini ili kuwahi Swala ya faradhi ya jamaa. Wakati wa Swala, sikuweza tena kujizuia, na unyenyekevu wangu katika Swala uliondoka kabisa. Hivyo, nilitoka kwenye Swala nikiwa nimeshikwa na dharura, nikaenda chooni. Je, ni ipi hukumu ya kutoka kwenye Swala kwa sababu hii?

Soma zaidi....

Kusoma kwa kuangalia kwenye Msahafu katika Swala ya Tarawihe

Ninataka kukamilisha (kuhitimisha) usomaji wa Qur'ani Tukufu katika Swala ya Tarawih ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, lakini sijahifadhi Qur'ani yote. Je, inaruhusiwa kwangu kusoma kwa kuangalia kwenye msahafu katika Swala?

Soma zaidi....

Kusoma Kunut kwa sauti ya kudhihirisha Katika Swala ya Alfajiri

Ni ipi hukumu ya kusoma Qunut kwa sauti ya kudhihirisha katika Swala ya Alfajiri?

Soma zaidi....