Mtu mmoja anauliza: "Nilikuwa nikiendesha gari katika barabara moja, ghafla akatokea mbwa mbele yangu akikatiza njia, sikuweza kulidhibiti gari nikamgonga kimakosa, jambo ambalo lilipelekea kifo chake. Mmiliki wake amenitaka nilipe thamani yake kwa sababu ni katika wanyama wenye manufaa, je, ni wajibu kwangu kulipa thamani yake?
Soma zaidi....
Ni ipi hukumu ya ukeketaji wa wasichana, kwani kuna wanaosema kuwa ukeketaji wa wasichana ni wajibu?
Soma zaidi....
Arabic
Englsh
French
Deutsch
Urdu
Pashto
Hausa
