Mwenye Janaba kula na kunywa kabla ya kuoga

Je, inajuzu kwa mtu mwenye janaba kula chakula au kunywa kinywaji kabla ya kuoga janaba?

Soma zaidi....

Hukumu ya Swala ya Mwanamke akiwa na damu ya hedhi

Je, mwanamke anasitisha kuswali akiona damu ya hedhi ya rangi ya kahawia ama asubiri mpaka damu ikawa nyekundu au nyeusi?

Soma zaidi....

Kupaka (maji) juu ya «Soksi» katika Udhu

Je, udhu unatenguka kwa kuvua tu «soksi» baada ya kupaka maji juu yake?

Soma zaidi....

Je, Kuoga kunatosheleza Udhu?

Je, kuoga kunatosheleza udhu?

Soma zaidi....

Je, inawajibika kuoga kwa sababu ya Madhii?

Je, inawajibika kuoga baada ya kutoka Madhii?

Soma zaidi....

Usafi katika maeneo ya Umma

Uislamu umetuhimizaje juu ya usafi wa maeneo ya Umma.

Soma zaidi....

Kutumia manyoya ya wanyama kuzalisha bidhaa.

Ipi hukumu ya kutumia matandiko yaliyotengenezwa na manyoya ya wanyama?

Soma zaidi....

Matumizi ya nywele za wanyama katika utengenezaji

Nini hukumu ya kutumia brashi iliyotengenezwa kwa nywele za wanyama?

Soma zaidi....

Usafi na tohara

Je, ni yapi madhihirisho ya maslahi ya Uislamu kwa usafi, na nini fadhila ya hilo?

Soma zaidi....