Nimefanyiwa upasuaji wa jicho kwa njia ya leza ili niweze kuona vizuri, na daktari bingwa amenikataza kufikisha maji ndani ya jicho na juu ya jicho kwa siku kadhaa. Naomba maelezo ya kisharia kuhusu namna ya kupata udhu katika hali hii.
Soma zaidi....
Ni ipi hukumu ya kuhifadhi / kudumu na udhu ili Muislamu aendelee kuwa na udhu muda wote?
Soma zaidi....
Nafanya kazi ya kutengeneza rangi na gundi na vitu vingine vya upakaji wa rangi katika moja ya viwanda, na hivyo vitu huniganda mikononi wakati wa kazi, na huwia vigumu kuondoa kabisa kila wakati wa Swala. Je, udhu wangu unakubalika nikiwa na vitu hivi? Ikijulikana kwamba mara nyingi hufanya tabaka juu ya ngozi.
Soma zaidi....
Mtu amefanyiwa upasuaji na ikahitajika kuwekwa bomba la kuondoa usaha na damu na kubaki nalo kwa siku kadhaa, je, kutoka damu kwenye jeraha na kushuka kwake kwenye bomba hili kunabatilisha udhu? Na je, kubeba bomba hili na yaliyomo ndani yake kwa muda wote kunathiri usahihi wa Swala yake?
Soma zaidi....
Je, inajuzu kwa mtu mwenye janaba kula chakula au kunywa kinywaji kabla ya kuoga janaba?
Soma zaidi....
Je, mwanamke anasitisha kuswali akiona damu ya hedhi ya rangi ya kahawia ama asubiri mpaka damu ikawa nyekundu au nyeusi?
Soma zaidi....
Arabic
Englsh
French
Deutsch
Urdu
Pashto
Hausa
